Wednesday, October 6, 2010
hati hati ya uchaguz
ndo kwanza chuo kinaanza kikiwa na waziri mkuu pekee yake baada ya Rais mh NUHU SULEIMAN kumaliza muda wake wa masomo.mambo yanaendelea ya kisiasa taratibu yanaendelea kuiva baada ya kuwepo kwa tetesi za baadhi ya watu wanaotaka kutasngaza nia kupigana vikumbo huku na huku wakijinadi kwa chini wakati wakisubiri muda muafaka wa uchaguzi habari zaidi za chini ya kapeti tutaendelea kukupa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment