Tuesday, October 19, 2010
harakati za uchaguz
IKIWA NDO KWANZA tume ya uchaguzi inachaguliwa mvutano mkubwa umetokea katika jimbo la dl2, baada ya kushindwa kuelewana wakati wauchaguzi wa watu watakao ingia kwenye tume hiyo.kelele nyingi zilisikika na kusababisha upitishaji wa majina kiholela.wakati huo huo uchaguzi wa wajumbe hao umeripotiwa kufanyika vizuri kati jimbo la dl1 na pia kati jimbo la certificate. mpaka sasa wakati wowote wajumbe hao watakutana kujipanga na kuaanza kazi zao zitakazo dumu kwa muda wa siku 14.
Mpaka sasa watu wanaosadikiwea kujiaadaa kutandgaza nia wanakadiliwa kufikia zaidi ya kumi kwa kiti cha urais
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment