,
'maisha ya mtaani yanachosha sana lakini bola niko shule sina
mishemishe nyingi kama za mtaani', .maisha ya chuo mara nyingi kwa siku kuna mishemishe ambazo hazikwepeki kama KWENDA LECTURE ROOM, KWENDA HOSTERI, NA KWENDA KANTINI au KWANDUNGULU,najua ni mhimu ufike sehemu hizo na pia lazima ubebe madafutari kama dada angu hapo juu.
WEWE UNADHANI HASA MAISHA YA CHUO NA YA MTAANI YANATOFAUTIANA HASA KWAKIPI NIPE MAONI..................................