wadau wakuu katika pozi

wadau wakuu katika pozi

Friday, November 12, 2010

JAMANI HUWA NI MARA MOJA KWA MWAKA ACHA TUPATE UPAKO

SIKU YA UGENI MKUBWA ALIKUJA BOSS WA MAHAKAMA ZOTE TANZANIA NA HAPA AKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA PRODUCT AMBAZO HUWA HAZIKOSEI KATIA SUALA LA ZIMA KUHUKUMU

HIZI SUTI BWANA EEEEEEH MUNGU TUSAIDIE BASI NA CC TUWE WADAU HILI FIELD

zamani nilikuwa na ndoto za kuwa mwanasheria nadhani sasa zinaenda kutimia ila hii kazi yako baba nayo nzuri naona umeamua kutembelea makalio sasa na mimi ntakuwa dean of student sasa angalia position yako

JAMANI TUNASOMA SHERIA NA KUIFANYIA KAZI KATIBA NDO IMEMFUKUZA MWANASHERIA MKUU BUNGENI JAMANI C MIMI ASA MNANISEMA NINI?

NADHANI SASA ULE MPANGO WA MOOT COURT UNAKUJA NIKO NA WAZIRI WA ELIMU HAPA BABA USITUANGUSHE JAMIIII ITAKUCHAKACHUAAAA

HIKI KILIKUWA NI KIPIND IKIGUMU ILA JAMANI ACHENI USALITI PIA TUJENGE IJASO NA UTAKATISHAJI CIO MZURI CC NI WANASHERIA
jamani nawashukuru sana wapiga kura wangu mlionipigia na ambao hamkuniunga mkono pia nawashukuru tusome sasa muda wa siasa umepita nawapenda sanaaaaa

ckiza hawa jamaaaaa wanataka watuwahi wakati wametukuta nje hapa asa ngoja thatha kudadadeki ndo watajua kilichomtoa kanga manyoyaaaaaaaaa

haaaaahaaaaaaa wamependa kuuuza sura na mwana blog uncleeeeeeee

hapa tunamwona rais mteuleeeee kipindi cha kampeni akiwa na wapambe wake ambaoo thatha ni mawaziri kweli nipe nikupe

msosiiiiii wa leeeeeeeoooo usipime

get together c unajua mambo ya kukaribishana chuoni

jamani hapa tunakaribishana ija na kupeana mawili matatu niini cha kufanya ili usiage mashindano mapema

kweli kazi ya uspika sasa hvi nakutana na dean of student kama nanawaaaa vileeee popoooooo

jamani hata mkisema nimekosa uwaziri lakini nimepata ujumbe wa ulinzi sasa fanya fujo uoneeeee hasa cku ya leeeooooooo

wanasheria watarajiwa karibuni jamani law ndo kila kitu

jamani hizo tasker za baridi haziji tuuuuuuu hapa ijaso mambo yakoje jamani kama vpi tuhamie makuti
asubuhi njemaaaa jamani mr appetatite

hapa ticher cc na weweeeeeeeeeee


masuala ya kampeni hapa mpango mzima jamani siasa tuache na tuwe kitu kimojaaaaaa