hapa mechi inaendelea japo iliathiliwa na mvua iliyonyesha mapema mchana
niwakati wa mapumziko wachezaji wa cl wakipeana mawaiza baada ya kenda kuanza kipindi cha pili
pamoja najua kua kali bado washabiki wa mpila walikuwepo uwanjan kufuatilia mchezo hapa ni victor,waziri mkuu mwenye miwani, waziri wa katiba na sheria mh miriam na wengine
hawapia walikuwepo kuhakikisha kinaeleweka uwanjani hapo
timu ya dli wakiwa kati picha ya pamoja
dada mboni ambae pia aliwahi kua mgombea wa kiti cha makamu wa rais alikuwepo uwanjani
hawa pia walikuwepo na kibend chao cha ushangiliaji full buruda
mashabiki wa dli wakiendelea na mishe mishe uwanjani
hawa ni mashabiki wa cl wakifuatilia mechi kwa karibu
wachezi wa cl baada ya mechi kuisha
hawa ni wakufunzi wa timu ya dlii mtaki,mzee rubugopamoja na mpanju baada ya timu na kuileta uwanjani
wachezaji wa timu ya stafu wakiwa tayari kabisa kukabili kikosi cha dlii
hapa niwachezaji wa dlii wakiwa pia tayari kwa kumenyana na timu ya staff
timu zote mbili zikikaguliwa kabla ya mechi kuanza
huyu ni lazak
dlii kati poz la pamoja
lamek pamoja na saba wakiwa pamoja walicheza pia na hapo ndipo lamek alipoweka record ya kucheza bila kuchafuka mpaka
KOMBAKONO, huyu ndio alikua kocha wa timu ya staff akito maelekezo kwa timu yake wakati mechi inaendelea hata hivyo baada ya kuona timu inaelemewa aliamua kuingia uwanjani mwenyewe
mashabiki wa dlii wakishangilia ushindi
hapo magoli yalipozidi hwakusita kushangilia mpaka uwanjani
kijani pamoja na vuvuzela yake alikua msatari wa mbele kushangilia
nikama bendi hivi mi napiga gitaa mshikaji anapuliza alafu mosses anaimba hahaahaah
tuko tu katika poz ya uwanjani pamoja na anna tegemea
mashabiki wa dlii wakieendelea kushangweka
Tuesday, January 11, 2011
Sunday, January 9, 2011
mechi kati ya dli na dlii basketball hii hapa
mawazili wakifuatilia mechi kwa karibu
dli baada ya kuona game inaenda mrama ilibidi waombe time out wajipange upya
vivyo hivyo kwa dli
washabiki wakifuatilia kwa kar8ibu zaidi
hakika akijaribu bahati yake
nilipata wassa kidogo na waziri wa uchumi
Wednesday, January 5, 2011
ufunguzi wa ligi ya madarasa huu hapa
timu ya netboll ya dlii wakiwa tayali kabisa kuwakilisha dlii
dl i wakiwa pia tayari kwa ajiri ya kuwakabili dada zao wa dlii
rais wa ijaso ndg WARIOBA akiwa pamoja na waziri wa michezo joseph pamoja na waziri wa habari mwatumu
Sunday, January 2, 2011
breakin newz.........
waziri wa ELIMU wa serikali ya wanafunzi (ijaso) ndg EDSON amejiuzulu.
habari za chini ya carpet tulizozipata ni kwamba kiongoz huyo ambaye amekua uongozin tangu serikali ya Rais Nuhu. amechukua uamuzi huu baada ya kuona kua elimu haipewi kipaumbele katika serikali hii ambacho ndicho kitu kikubwa ambacho kimewafanya pia kua hapa, Aitha habari ambazo hazijazipitishwa zinasema kua sekta hiyo muhim imekua haipewi kipaumbele kiasi kwamba mpaka vikao inavyokaa haipewi posho hata maji ya kunywa wajumbe hawapati.
mpaka sasa ijasosana haijapata taarifa rasimi kama mh Rais ameipokea na kuilizi barua ya kujiuzuli kwa waziri EDSON kwa habari zaidi tutakupasha stay tuned
habari za chini ya carpet tulizozipata ni kwamba kiongoz huyo ambaye amekua uongozin tangu serikali ya Rais Nuhu. amechukua uamuzi huu baada ya kuona kua elimu haipewi kipaumbele katika serikali hii ambacho ndicho kitu kikubwa ambacho kimewafanya pia kua hapa, Aitha habari ambazo hazijazipitishwa zinasema kua sekta hiyo muhim imekua haipewi kipaumbele kiasi kwamba mpaka vikao inavyokaa haipewi posho hata maji ya kunywa wajumbe hawapati.
mpaka sasa ijasosana haijapata taarifa rasimi kama mh Rais ameipokea na kuilizi barua ya kujiuzuli kwa waziri EDSON kwa habari zaidi tutakupasha stay tuned
Subscribe to:
Posts (Atom)