wadau wakuu katika pozi

wadau wakuu katika pozi

Friday, October 22, 2010

chini ya kapet

habari zisizo lasimi tulizo zipata zinaeleza walichukua form za kugombea kwa ngazi ya urais ni wafuatao 1;dennis bishaka alikua waziri mkuu 2;mtaki alikua kocha wa kikosi cha dli mwaka jana 3;elias mkumbo alishawahi kuomba ngazi hiyo mwaka jana 4;mpamju huyo pia aligombea mwakajana lakini kura hazikutosha kwa upande wa makamu wa rais waosemekana pia kuchukua ni wafuatao 1;mery munna 2;majariwa 3;mboni 4;dl1 mmoja pia ambae jina lake bado hatujaripata habari hizi ni tetesi tunasubiri tume itakapo tangaza rasmi

No comments:

Post a Comment