wadau wakuu katika pozi

wadau wakuu katika pozi

Monday, November 9, 2009

tumekubali kaka bado uko juuu sana tu tunaamini hujafuria

wekend ilio pita sehemu fulani hivi wenyewe wanaiita BIG BROTHER kulikuana na sherehe kubwa ilyokua imeandaliwa na aliekua mgombea wa kiti cha urais wa serikali ya wanafunzi wa chuo cha uongozi wa mahakama ( ija) ndugu ABEDI kwa ajiri ya kuwapongeza  wale wote waliompigia kura.JAMA KAONYESHA ITS REAL THEIR COMPETION WAZ FAIR,hoyoapo ndo mnyama  mwenyewe aliyeku wa shughuri.
picha zingine za tukio zima ntakupa baadae za marafiki na waheshimiwa waliohudhuria siku hiyo

No comments:

Post a Comment