wadau wakuu katika pozi

wadau wakuu katika pozi

Friday, November 12, 2010

jamani nawashukuru sana wapiga kura wangu mlionipigia na ambao hamkuniunga mkono pia nawashukuru tusome sasa muda wa siasa umepita nawapenda sanaaaaa

ckiza hawa jamaaaaa wanataka watuwahi wakati wametukuta nje hapa asa ngoja thatha kudadadeki ndo watajua kilichomtoa kanga manyoyaaaaaaaaa

haaaaahaaaaaaa wamependa kuuuza sura na mwana blog uncleeeeeeee

hapa tunamwona rais mteuleeeee kipindi cha kampeni akiwa na wapambe wake ambaoo thatha ni mawaziri kweli nipe nikupe

msosiiiiii wa leeeeeeeoooo usipime

get together c unajua mambo ya kukaribishana chuoni

jamani hapa tunakaribishana ija na kupeana mawili matatu niini cha kufanya ili usiage mashindano mapema

kweli kazi ya uspika sasa hvi nakutana na dean of student kama nanawaaaa vileeee popoooooo

jamani hata mkisema nimekosa uwaziri lakini nimepata ujumbe wa ulinzi sasa fanya fujo uoneeeee hasa cku ya leeeooooooo

wanasheria watarajiwa karibuni jamani law ndo kila kitu

jamani hizo tasker za baridi haziji tuuuuuuu hapa ijaso mambo yakoje jamani kama vpi tuhamie makuti

No comments:

Post a Comment