jamani nawashukuru sana wapiga kura wangu mlionipigia na ambao hamkuniunga mkono pia nawashukuru tusome sasa muda wa siasa umepita nawapenda sanaaaaa
ckiza hawa jamaaaaa wanataka watuwahi wakati wametukuta nje hapa asa ngoja thatha kudadadeki ndo watajua kilichomtoa kanga manyoyaaaaaaaaa
haaaaahaaaaaaa wamependa kuuuza sura na mwana blog uncleeeeeeee
hapa tunamwona rais mteuleeeee kipindi cha kampeni akiwa na wapambe wake ambaoo thatha ni mawaziri kweli nipe nikupe
msosiiiiii wa leeeeeeeoooo usipime
get together c unajua mambo ya kukaribishana chuoni
jamani hapa tunakaribishana ija na kupeana mawili matatu niini cha kufanya ili usiage mashindano mapema
kweli kazi ya uspika sasa hvi nakutana na dean of student kama nanawaaaa vileeee popoooooo
jamani hata mkisema nimekosa uwaziri lakini nimepata ujumbe wa ulinzi sasa fanya fujo uoneeeee hasa cku ya leeeooooooo
wanasheria watarajiwa karibuni jamani law ndo kila kitu
jamani hizo tasker za baridi haziji tuuuuuuu hapa ijaso mambo yakoje jamani kama vpi tuhamie makuti
No comments:
Post a Comment