wadau wakuu katika pozi

wadau wakuu katika pozi

Friday, November 12, 2010

JAMANI HUWA NI MARA MOJA KWA MWAKA ACHA TUPATE UPAKO

SIKU YA UGENI MKUBWA ALIKUJA BOSS WA MAHAKAMA ZOTE TANZANIA NA HAPA AKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA PRODUCT AMBAZO HUWA HAZIKOSEI KATIA SUALA LA ZIMA KUHUKUMU

HIZI SUTI BWANA EEEEEEH MUNGU TUSAIDIE BASI NA CC TUWE WADAU HILI FIELD

zamani nilikuwa na ndoto za kuwa mwanasheria nadhani sasa zinaenda kutimia ila hii kazi yako baba nayo nzuri naona umeamua kutembelea makalio sasa na mimi ntakuwa dean of student sasa angalia position yako

JAMANI TUNASOMA SHERIA NA KUIFANYIA KAZI KATIBA NDO IMEMFUKUZA MWANASHERIA MKUU BUNGENI JAMANI C MIMI ASA MNANISEMA NINI?

NADHANI SASA ULE MPANGO WA MOOT COURT UNAKUJA NIKO NA WAZIRI WA ELIMU HAPA BABA USITUANGUSHE JAMIIII ITAKUCHAKACHUAAAA

HIKI KILIKUWA NI KIPIND IKIGUMU ILA JAMANI ACHENI USALITI PIA TUJENGE IJASO NA UTAKATISHAJI CIO MZURI CC NI WANASHERIA

No comments:

Post a Comment