wadau wakuu katika pozi

wadau wakuu katika pozi

Monday, January 11, 2010

SHEMEJIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII 4-1

Mechi ya cL na dL2 ilfanyika jana kati uwanja wa halimashauli ambapo CL WALIFUMGWA goli 4 kwa 1.

CL WALIKUA WAKWANZA KUPATA BAO KIPINDI CHAKWANZA AMBAPO BAO HILO LILIDUMU KWA DAKIKA CHACHE BAADA YA KUSAWAZISHA. BAADA YA KUSAWAZISHWA NA GOLI HILO NDIPO MVUA YA MAGOLI ILIPOANZA

DL2 wakifulahia baada ya kusawazisha bao la kwanza


kabla ya mpila kuanza hapa nitimu ya DL2

HAWAHAPA NI CL kabla dhoruba haijawaangukia

CL KWA MCHEZO WALIOUONYESHA WACHAMBUZI WAMICHEZO WANASEMA KUA UWEZEKANO NIMKUBWA KWA TIMU YA CL KUA NI VILAZA KATIKA MPIRA WA MIGUU.SO ITZ UP TO U CL MKAZE BOOT

No comments:

Post a Comment