Tuesday, January 12, 2010
IJASO YAPATA MUWEKEZAJI
Habari zilizotufikia nikua hapo jana serikari ya wanafunzi ilikua katika mchakato wakuingia mkataba na bwana MULLA juu ya uendeshaji wa ijaso ambayo ni moja ya vitega uchumi vikubwa vya serikari ya wanafunzi.Aitha muwekezaji huyo atakua akitoa huduma za chakula na vinywaji kwa muda wa mwaka mzima kwa mjibu wa mkataba,ambao mkubaliano yake yalitakiwa yafanyika hapo jana jioni.Kwa mujibu wa waziri mkuu amesema kua mkata huo utaipatia serikari shillingi 600,000 tsh
IJASOSANA
IJASO YAPATA MUWEKEZAJI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment