wadau wakuu katika pozi

wadau wakuu katika pozi

Wednesday, January 13, 2010

cl waonekana dhahiri vibonde wa ligi

HIKI NDICHO KIKOSI KAMILI CHA DL 1 KINACHOONGO KWA KUGAWA DOZI ZA KUELEWEKA.WALIANZA STAFF WAKAFUATA CL NA SASA ZAMU IJAYO NI YA DL2,HATUJUI ITAKUAJE? LAKINI INATARAJIWA KUA NI MECHI ITAKAYO VUTA HISIA ZA WATU WENGI



MECHI NYINGINE ILIKUA KATI YA TIMU YA STAFF NA DL2 AMBAPO MPAKA KIPENGA CHA MWISHO KINALIA STAFF WALIKUA MBELE KWA MAGOLI 6 KWA 3

TIMU YA DL2 WAKATI WAKIWA TAYALI KUINGIA UWANJANI

jana timu ya certificate imeonekana dhahiri kua kichwa cha mwenda wazimu baada ya kujikuta ikichezea tena kichapo cha kueleweka baada ya KUFUNGWA MAGOLI 6 KWA 1 NA TIMU YA DL2

No comments:

Post a Comment