Mh. Waziri Mkuu wa Serikali ya wanachuo IJASO(shirt njano) akiwa pamoja na wanachuo wengine wakielekea Chuoni wote wanaishi katika Hostel Moja wengi wao wanaiita chaku's ze best hostel kwani ni moja kati ya hostel zenye mandhari nzuri. Camera yetu iliwakuta wakiwa na huu msafara.
Friday, January 8, 2010
Hata Sisi tupo pamoja na Waziri Mkuu.
Mh. Waziri Mkuu wa Serikali ya wanachuo IJASO(shirt njano) akiwa pamoja na wanachuo wengine wakielekea Chuoni wote wanaishi katika Hostel Moja wengi wao wanaiita chaku's ze best hostel kwani ni moja kati ya hostel zenye mandhari nzuri. Camera yetu iliwakuta wakiwa na huu msafara.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment