
mdau tupa2 na mwingerezaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa cjui wanalonga nini hapa wiziiiiiiiiiiiiii mtupu

waziri mkuu nae kwavilonga hachoki kuongea na simu haya sasa pembeni ni spika wetu wa bunge nadhani hela za kikao cha kwanza zimetoka mbona wamenona sana hawa watu au ndo epaaaaaaaaaaaaaa

detectiveeeeeeee kaka upoooooooo naona pembeni mdau uncle nanihiiiiiiii na suti yake kama kikwete haya wadau kazi kwenuuuuuuuuu
Wajomba wauza sura sana kila sehemu wamo,ila huyo pimbi kaunda yake imenikuna sana sijui kaazima kw kikwete.Ila sio mbaya nawapa big up kuendelea kuuza sura.
ReplyDeletesio mpango kuwaponda washikaji japo kwel wauza sura ile mbaya ila pimbi kapendeza mbaya namuomba one day aniazimishe hiyo kaunda.
ReplyDelete