duuh kama kachumbari fulani hivi yanni mechi ilikua ikiendelea huku dj akieendeleza burudan hapo hapo uwanjani so ilikua burudani marambili
hahahahahaha watu kibao walikuepo kwenye tukio
dli wakiwa wamepoooooozi
dli wakiwa katika pozi kabla ya mechi kuanza