Mafuliko madogo yasio namadhara yenye usumbufu, yametokea mara ya pili na kusababisha wanachuo na baadhi ya wananchi kupita katika maji, yalitokea katika geti la kuingilia Chuoni. Wagumu walilazimika kuvua viatu na Mabitozi walibebwa na Bodaboda.
Friday, January 8, 2010
MVUA YASABABISHA MAJI KUPITA JUU YA DARAJA KATIKA GETI LA KUINGIA CHUONI.
Mafuliko madogo yasio namadhara yenye usumbufu, yametokea mara ya pili na kusababisha wanachuo na baadhi ya wananchi kupita katika maji, yalitokea katika geti la kuingilia Chuoni. Wagumu walilazimika kuvua viatu na Mabitozi walibebwa na Bodaboda.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment